Welcome

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

USAIN BOLT KUSTAAFU RIADHA MWAKANI

Mwanariadha Usain Bolt amedokeza kustaafu riadha ifikapo Februari mwaka 2017 baada ya michuano ya Mabingwa wa Dunia, na kuongeza kuwa hii itakuwa ni michuano yake ya mwisho ya Olimpiki kushiriki.


Mwanariadha huyo raia wa Jamaica anayeshikilia rekodi za mita 100 na 200 duniani, pia amesema anadhamiria kuwa mwanariadha kwa kwanza kukimbia kwa sekunde 19 katika mbio za mita 200.

Bolt anaweza kuondoka Rio na mafanikio ya kutwa tena medali za dhahabu tatu za mbio za mita 100, mita 200 na mbio za 4x100mita kupokezana kijiti kama ilivyokuwa mwaka 2008 na 2012.

_____________________________________

“How long are you going to wait before you demand the best for yourself and in no instance bypass the discriminations of reason? You have been given the principles that you ought to endorse, and you have endorsed them. What kind of teacher, then, are you still waiting for in order to refer your self-improvement to him? You are no longer a boy, but a full-grown man. If you are careless and lazy now and keep putting things off and always deferring the day after which you will attend to yourself, you will not notice that you are making no progress, but you will live and die as someone quite ordinary.

From now on, then, resolve to live as a grown-up who is making progress, and make whatever you think best a law that you never set aside. And whenever you encounter anything that is difficult or pleasurable, or highly or lowly regarded, remember that the contest is now: you are at the Olympic Games, you cannot wait any longer, and that your progress is wrecked or preserved by a single day and a single event. That is how Socrates fulfilled himself by attending to nothing except reason in everything he encountered. And you, although you are not yet a Socrates, should live as someone who at least wants to be a Socrates.” ― Epictetus

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright LECTURE SKILLS
Back To Top