Welcome

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KOREA KASKAZINI YARUSHA MAKOMBORA KWA MARA NYINGINE TENA HUKU MKUTANO WA G20 UKIENDELEA

Makombora aina ya Scud ambayo Korea Kaskazini ililipua hivi karibuni
Jeshi la Korea Kusini linasema Korea Kaskazini imerusha makombora matatu ya masafa marefu baharini saa chache baada ya Rais wa Korea Kusini Park Geun-hye kukutana na Rais wa Uchina Xi Jinping pambizoni mwa mkutano mkuu wa nchi 20 zenye zilizostawi zaidi kiuchumi duniani.Makombora hayo yalirushwa kutoka eneo la Hwangju.

Waziri aliyesinzia mkutanoni auawa Korea Kaskazini Bi Park ametoa wito wa kuwepo kwa ushirikiano zaidi na Uchina, ambayo ni mshirika wa Korea Kaskazini, kuhusu kile alichosema ni uchokozi wa mara kwa mara wa Pyongyang ambayo imekuwa ikifanya majaribio ya mabomu ya nyuklia na makombora.

Vyombo vya habari Uchina vimesema Xi amesisitiza pingamizi zake dhidi ya kujengwa kwa mfumo wa Marekani wa kujikinga dhidi ya makombora nchini Korea Kusini. Amesema mpango huo huenda ukazidisha uhasama.

_____________________________________

“How long are you going to wait before you demand the best for yourself and in no instance bypass the discriminations of reason? You have been given the principles that you ought to endorse, and you have endorsed them. What kind of teacher, then, are you still waiting for in order to refer your self-improvement to him? You are no longer a boy, but a full-grown man. If you are careless and lazy now and keep putting things off and always deferring the day after which you will attend to yourself, you will not notice that you are making no progress, but you will live and die as someone quite ordinary.

From now on, then, resolve to live as a grown-up who is making progress, and make whatever you think best a law that you never set aside. And whenever you encounter anything that is difficult or pleasurable, or highly or lowly regarded, remember that the contest is now: you are at the Olympic Games, you cannot wait any longer, and that your progress is wrecked or preserved by a single day and a single event. That is how Socrates fulfilled himself by attending to nothing except reason in everything he encountered. And you, although you are not yet a Socrates, should live as someone who at least wants to be a Socrates.” ― Epictetus

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright LECTURE SKILLS
Back To Top