Welcome

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KOREA KASKAZINI YARUSHA MAKOMBORA KWA MARA NYINGINE TENA HUKU MKUTANO WA G20 UKIENDELEA

Makombora aina ya Scud ambayo Korea Kaskazini ililipua hivi karibuni Jeshi la Korea Kusini linasema Korea Kaskazini imerusha makombora matatu ya masafa marefu baharini saa chache baada ya Rais wa Korea Kusini Park Geun-hye kukutana na Rais wa Uchina...

WAZIRI MAHIGA KUSHIRIKI UANGALIZI WA UCHAGUZI WA WABUNGE KATIKA JAMHURI YA SHELISHELI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk. Augustine Mahiga akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Shelisheli, Alix Michel. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk. Augustine Mahiga akimtambulisha...

KESI YA UPINZANI KUPINGA USHINDI YATUPWA MBALI ZAMBIA

Rais Edgar Lungu wa Zambia Mahakama ya kikatiba nchini Zambia imetupilia mbali kesi ya mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha United Party for National Development Hakainde Hichilema na mgombea mwenza Geofrey Bwalya dhidi ya uchaguzi wa rais...

UJUE UWANJA WA AMAAN, ZANZIBAR

Uwanja wa Amaan mjiniUnguja ni wa kihistoria, japo wengi hawafahamu. Ulijengwa kwa msaada wa serikali ya China na ulifuynguliwa mwaka 1970, ukiwa ni mradi mkubwa wa nchi hiyo wa viwanja vya michezo barani Afrika. Michezo na sherehe nyingi hufanyika...

DC NDEJEMBI AFANYA MKUTANO WA BARAZA LA BIASHARA LA WILAYA YA KONGWA NAKUBAINI UFUJAJI WA PESA

Mkuu wa wilaya ya kongwa, Mh Deogratius Ndejembi amefanya kikao cha baraza la wafanya biashara wa wilaya ya kongwa, likiwa linajumuisha wafanya biashara wote wakiwamo wafanya biashara za mazao, mifugo, na biashara zingine.  Kikao kilifunguliwa...

MASHINDANO EAC YAANZA KIGALI TANZANIA YASHIKA NAFASI HII HAPA .

Wanamichezo wa Michezo ya majeshi kwa Nchi za Afrika Mashariki wakiingia Uwanjani wakati wa Ufunguzi wa Michuano hiyo uliofanyika katika Uwanja wa Amahoro Kigali Nchini Rwanda  Baadhi ya maofisa na Wanamichezo wa Michezo ya majeshi kwa...

MTOTO ALIYEWEKEWA BETRI KWENYE MOYO KURUHUSIWA KUPITA KWENYE MAENEO HAYA BILA KUKAGULIWA.

Kadi ya kumtambulisha mtoto Happiness John (5) kimataifa baada ya kufanyiwa upasuaji na kuwekewa betri ndani ya moyo inatengenezwa nchini Afrika Kusini. Happiness ambaye alifanyiwa upasuaji huo Julai 15 na kuruhusiwa kutoka hospitalini wiki moja iliyopita,...

TUNDU LISSU AIJIA JUU SEKRETARIETI YA MAADILI .

TUMECHOKA kuvumilia! Ni kauli ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya kudai kusakamwa na Serikali . Chama hicho kimetoa kauli hiyo leo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, baada ya Jaji Mstaafu, Salome...

RC MONGELLA ATOA UFAFANUZI KUHUSU ZIARA YA RAIS MAGUFULI MKOANI MWANZA.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe.John Mongella (kulia) akitoa taarifa ya ujio wa Rais Magufuli mkoani Mwanza. Kushoto ni Katibu Tawala mkoani Mwanza, CP.Clodwig Mtweve.  **** Judith Ferdinand (BMG), Mwanza **** Rais wa Jamuhuri ya Muungano...

USAIN BOLT KUSTAAFU RIADHA MWAKANI

Mwanariadha Usain Bolt amedokeza kustaafu riadha ifikapo Februari mwaka 2017 baada ya michuano ya Mabingwa wa Dunia, na kuongeza kuwa hii itakuwa ni michuano yake ya mwisho ya Olimpiki kushiriki. Mwanariadha huyo raia wa Jamaica anayeshikilia...

DRAKE AFUNGUKA KUHUSU RIHANNA,

Rapa kutoka Canada, Drake alikuwa akitumbuiza katika ukumbi wa Madison Squre Garden huko New York weekend hii na kuonesha hisia zake za kumkubali Rihanna na kueleza kuwa anatamani na anaweza kuwa na mahusano na mwanadada Rihanna kama mambo yakiwa...

ANIMALS - facts and info

Slow Lorises facts and info: - Slow Lorises are primates/mammals originating from Southeast Asia. - The Slow Loris possesses a toxic (strong venomous) bite. It is a very rare trait for a mammal indeed. The venom servers as a defence against enemy...

amazing new Top 10 Animal Fight HOT VIDEO INSIDE

...

THIS IS TERRIBLE SEE VIDEO INSIDE Last Feast of The Crocodiles VS chimpanzee

...

Second snakes that lay eggs , so why the Cobra roadster .see this war

...
© Copyright 2025 LECTURE SKILLS | Designed By Code Nirvana
Back To Top