Welcome

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KESI YA UPINZANI KUPINGA USHINDI YATUPWA MBALI ZAMBIA


Rais Edgar Lungu wa Zambia

Mahakama ya kikatiba nchini Zambia imetupilia mbali kesi ya mgombea wa urais wa chama cha upinzani cha United Party for National Development Hakainde Hichilema na mgombea mwenza Geofrey Bwalya dhidi ya uchaguzi wa rais Edgar Lungu.Katika uamuzi wa wengi ,jopo la majaji katika mahakama hiyo ya kikatiba liliamua kwamba mda wa mwisho uliowekwa kusikiliza kesi hiyo ulikuwa umekwisha.

Bwana Lungu alihifadhi kiti chake baada ya kujipatia zaidi ya asilimia 50 ya kura katika uchaguzi huo uliofanyika tarehe 11 mwezi Agosti. Chama cha UPND cha mpinzani wake Hakainde Hichilema kilipinga matokeo hayo na kuwasilisha ombi la kuyapinga mnamo tarehe 19 mwezi Agosti.

Hakainde Hichilema wa chama cha UPND ZambiaSheria inasema kuwa mahakama ya kikatiba ina siku 14 kusikiliza kesi hiyo.

Mwandishi wa BBC nchini humo anasema kuwa muda huo ulikumbwa na mabishano na ilipofika siku ya Ijumaa mawakili wa bwana Hichilema waliondoka katika mahakama wakidai ukosefu wa muda. Mahakama hiyo iliendelea mapema leo na kutangaza uamuzi huo

_____________________________________

“How long are you going to wait before you demand the best for yourself and in no instance bypass the discriminations of reason? You have been given the principles that you ought to endorse, and you have endorsed them. What kind of teacher, then, are you still waiting for in order to refer your self-improvement to him? You are no longer a boy, but a full-grown man. If you are careless and lazy now and keep putting things off and always deferring the day after which you will attend to yourself, you will not notice that you are making no progress, but you will live and die as someone quite ordinary.

From now on, then, resolve to live as a grown-up who is making progress, and make whatever you think best a law that you never set aside. And whenever you encounter anything that is difficult or pleasurable, or highly or lowly regarded, remember that the contest is now: you are at the Olympic Games, you cannot wait any longer, and that your progress is wrecked or preserved by a single day and a single event. That is how Socrates fulfilled himself by attending to nothing except reason in everything he encountered. And you, although you are not yet a Socrates, should live as someone who at least wants to be a Socrates.” ― Epictetus

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright LECTURE SKILLS
Back To Top